LyricFind Logo
LyricFind Logo
Sign In
Share icon
Lyrics
Kama ni mapenzi yaniuwe basi yaniue
Huu mzigo basi niutue
Kama siyajui nipeleke shule baby
Kwengine sioni penzi lako lanipa upofu we
Kwa mikono yako nichukue
Kwenye makorongo usinitue baby
Me nishajigamba sana kwa masela majita
We ndo changu kipenzi nishawaambia
We ndo changu kipenzi
Sa usije kunichanganya mwenzako nitakwisha
Si ushajua siwezi bila ya penzi lako mimi siwezi
Mimi mimi

Watu
nitawambia nini watu x3
Mimi
Watu
Nitawambia nini watu x
Mimi


Bila we mi nitaukosa uhai
Bila we life halita noga
Ni raha tu vile unanikosha
Utaniambia nini kuhusu mapenzi
Kwako nimegota nikikuona ka nimeona nyota
Kwa penzi lako chozi la nidondoka
Basi usiniweke roho juu

Me nishajigamba sana kwa masela majita
We ndo changu kipenzi nishawaambia
We ndo changu kipenzi
Sa usije kunichanganya mwenzako nitakwisha
Si ushajua siwezi bila ya penzi lako mimi siwezi
Mimi mimi

Watu
nitawambia nini watu x3
Mimi
Watu
Nitawambia nini watu x
Mimi"

WRITERS

Sharif Saidi Juma

PUBLISHERS

Lyrics © Sentric Music

Share icon and text

Share


See A Problem With Something?

Lyrics

Other