LyricFind Logo
LyricFind Logo
Profile image icon
Lyric cover art

Unaniweza

Apple Music logo
Deezer logo
Spotify logo
Share icon
Lyrics
Pindi ukicheka we, Mi moyo unanitabasamu
Huwa mwenye kujihisi mororo
Ila ukilia wee, Hata kula nakosa hamu
Huwa mwenye kujihisi mdororo

Ukiwa karibu na mie, Najiona bora
Lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
Uwepo wako we na mie, Umetia fora
We ndio dakitari, Darling, Nikitaka kupona

Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza

Sitamani mwingine, Wala sidhani ka ataweza kutokea
Maana mambo yako moto moto, Moto
Labda upite ushetani mwingine, Maneno ya watu nishazoea i don't care
Kila kukicha choko choko, Choko choko
Unavyonipa raha, Ndiyo nanepa mie
Penzi lako natinga, navimba nabembea
Kinachokufaaa, Usisite niambie
Kwako niko radhi hata zege nibebe, Machinga nidadishee

Ukiwa karibu na mie, Najiona bora
Lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
Uwepo wako we na mie, Umetia fora
We ndio dakitari, Darling, Nikitaka kupona

Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza, I do it for love
For love
Unaniweza weza
For love, I do it for love
Unaniweza weza

PUBLISHERS

Lyrics © Sentric Music, SENTRIC MUSIC

Share icon and text

Share


See A Problem With Something?

Lyrics

Other

From This Artist